25

November 06, 2018 www.mygov.go.ke NEWSFOCUS | 25 madini Taita Taveta mbali maarifa ya uchimbaji madini. “Uchimbaji madini umetupatia matumaini katika maisha na nawahimiza wanawake wenzangu kujihusisha na kazi hi ili kuboresha maisha yao”, alisihi Wakesho. Wakesho ambaye ana umri wa miaka ishirini na tisa (29) na mama wa mtoto mmoja alisema a uchimbaji madini umewapa fursa nadra kina mama kuinua hali yao ya maisha pamoja na jamii zao. “Ni kazi ngumu kweli lakini ukiwa makini na kujitolea utafanikiwa kutimiza malengo yako katika maisha. Ni bora kuliko kutegema wengine wakusaidie” alisema. Alisifu kikundi cha CBO kwa kawapatia akina mama nafasi sawa bila kuwabagua au kuwanyanyasa kijinsia, jambo ambalo asema limewatia moyo sana akina mama.“Hapa sisi tunaishi katika kambi na tunafanya kazi kama jamii moja, jambo ambalo limetutia moyo sana, alidokeza Wakesho huku akitabasamu. Hata hivyo Wakesho alisema kuwa mbali na mafanikio madogo waliyopata, bado wanakabiliwa na changamoto kadhaa kama vile ukosefu wa vifaa mwafaka vya kuchimbia na soko nzuri linalotegemeka la kuuzia bidhaa zao. Kwa upande wake, Changanya alisema Ni kazi ngumu kweli lakini ukiwa makini na kujitolea utafanikiwa kutimiza malengo yako katika Maisha waliamua kuunda kikundi chao kuendesha shughuli za uchimbaji na uuzaji wa madini ili kuepuka kunyanyaswa na kudhulimwa na mabepari. “Tunashukuru tunapata mapato ya kiasi cha haja kutuwezesha kujisamamia wenyewe na hata pia kusaidia miradi kadha ya kijamii na kuwapatia ajira vijana”, alisema Changanya ambae pia ni msemaji wa kikundi hicho cha Chawia. Changanya ambaye alianza kazi ya uchimbaji katika miaka ya 70 alisisitiza umuhimu wa Serikali Kuu na ile ya Kaunti kuboresha maslahi ya wachimba madini ili kuimarisha sekta hii. Msemaji huyu alieleza furaha yake kwa kujihusisha kwa akina mama na vijana katika uchimbaji wa madini, taswira ambayo imeleta matumaini na mwamko mpya katika Kaunti ya Taita Taveta. President launches KRA’s new integrated electronic command Scanners have enabled KRA to have a real-time view of operations at all points of entry BY DAVID KIMANI P resident Uhuru Kenyatta launched KRA’s Integrated Electronic Command Centre at Times Tower during the annual taxpayers’ award ceremony held last Wednesday. The command centre consists of the Regional Electronic Cargo Tracking System (RECTS) and the Integrated Scanner Solution Command Centres. These two are among the major technologies that KRA has put in place in the Customs and Border Control Department to facilitate tax KRA CG John Njiraini shows His Excellency President Uhuru Kenyatta around the Integrated Electronic Command Centre administration. KRA Commissioner General, Mr John Njiraini said that integration of the scanners has enabled KRA to have a realtime view of the scanning operations at all points of entry thereby enhancing efficiency of the process. “Before the integration of the scanners, we did not have real-time view of what was happening at points of entry. This integration has now revolutionised the scanning process,” Mr Njiraini said. The Commissioner General indicated that KRA is in the process of providing a link to the National Police Service and CONTINUED ON PAGE 32 THE PRESIDENCY MINISTRY OF HEALTH REPUBLIC OF KENYA REPUBLIC OF KENYA PRINTING, SUPPLY AND DELIVERY OF NATIONAL GUIDELINES FOR DIAGNOSIS AND PREVENTION OF MALARIA IN KENYA AND JOB AIDS The Ministry of Health invites interested and eligible tenderers in the AGPO category to participate in the following Open National Tender; TENDER REF.NUMBER TENDER DESCRIPTION MOH/DPPH/NMCP/003/GF/ ONT/2018-2019 PRINTING, SUPPLY AND DELIVERY OF NATIONAL GUIDELINES FOR DIAGNOSIS,TREATMENT AND PREVENTION OF MALARIA IN KENYA ,PARTICIPANTS MANUALS FOR DAIGNOSIS MANAGEMENT AND PREVENTION OF MALARIA AND ASSORTED JOB AIDS TENDER CLOSING/ OPENING DATE 21ST NOVEMBER,2018 MINISTRY OF INTERIOR & CO-ORDINATION OF NATIONAL GOVERNMENT COUNTY COMMISSION- KWALE COUNTY TENDER NOTICE Suppliers/Contractors are invited for the supply and delivery of office stationary, dry foods, and sale of boarded vehicles to National Government Departments/Constituency Development Funds-Kwale County on as and when required basis for the period ending 30th June, 2020. F/Y 2018-2020 FRAMEWORK AGREEMENT NO TENDER NO: 2. 3 DESCRIPTION 1. KWL/01/2018-2020 supply and delivery of office stationery KWL/02/2018-2020 Supply and delivery of dry foodstuffs KWL/03/2018-2020 Sale of boarded government vehicle GKY821 SUZUKI MARUTI TARGETED GROUP Youth/women/disabled open open Interested bidders should attach the following documents at submission to be considered for further evaluation for tender nos. KWL/01/2018-2020 and KWL/02/2018-2020. 1. Copies of business registration, VAT/PIN and Compliance certificates. 2. Copy of registration certificate from national treasury for firms belonging to youth women and persons with disability for tender KWL/01/2018-2020. For further information, Interested and eligible tenderers may download the tender document from the Ministry’s websites on: www.health.go.ke or a Tender document with detailed information may be obtained from Supply Chain Management Services Office situated on ground floor National Malaria Control Program situated at the Kenyatta National Hospital Ground next to NASCOP, during normal working hours. Tender document will be issued free of charge. Interested and eligible tenderers who download the tender document from the Ministry’s websites shall register with Supply Chain Management Services Office situated on ground floor National Malaria Control Program situated at the Kenyatta National Hospital Ground next to NASCOP, during normal working hours. Completed tender documents are to be enclosed in plain sealed envelopes marked with the tender Number: MOH/DPPH/NMCP/003/GF/ONT/2018-2019 and Tender Name: PRINTING, SUPPLY AND DELIVERY OF NATIONAL GUIDELINES FOR DIAGNOSIS AND PREVENTION OF MALARIA IN KENYA AND JOB AIDS and must be deposited in the Tender Box at National Malaria Control Program Office , Ground Floor situated at Kenyatta National Hospital grounds next to NASCOP or sent to THE PRINCIPAL SECRETARY MINISTRY OF HEALTH 6TH FLOOR, AFYA HOUSE, P.O BOX 30016-00100, NAIROBI. so as to be received on or before 21ST NOVEMBER, 2018 at 10.00 a.m. Tenders will be opened immediately thereafter at the National Malaria Control Program Boardroom in the presence of bidders or their representatives who choose to attend. Late submission will not be accepted. Any canvassing will lead to disqualification of tenderer (s). HEAD SUPPLY CHAIN MANAGEMENT SERVICES For PRINCIPAL SECRETARY 3. Confidential Business Questionnaire must be fully filled and signed by authority person(s) with full names of directors/owners(s) 4. form of tender fully filled and singed 5. single business permit Interested bidders for the above frame work can obtain tender documents from sub county supply chain management office Matuga Sub County – P O Box 1-80403 Kwale upon payment of kshs 1,000 non refundable, kshs 5000 deposit for tender no. kwl/03/2018-2020 refundable for unsuccessful bidder (attach a deposit receipt from sub county accounts officer kwale) Completed tender document(s) enclosed in plain sealed envelopes and marked with tender number and item description should be addressed to:MATUGA SUB COUNTY DEPUTY COUNTY COMMISSIONERS, KWALE COUNTY P O BOX 1-80403, KWALE Or deposited in the tender box situated at the Deputy County Commissioner’s office on or before 20th November 2018 Tender submitted after closing date and time shall not be accepted. Tenders shall be opened publicly immediately thereafter at the deputy county commissioner’s boardroom in the presence of participating bidder or their representatives who choose to attend. Women, youth and persons living with disability are encouraged to apply. HEAD OF SUPPLY CHAIN MANAGEMENT UNIT FOR COUNTY COMMISSIONER KWALE COUNTY

26 Publizr Home


You need flash player to view this online publication